Usajili mwingine uliokamilika usiku wa Jana Simba huu hapa - July 21, 2018 . Usajili mwingine uliokamilika Ukisikia Simba hawatanii hawatanii kweli na wamekuwa tayari kufanya lolote linapokuja suala la Kumuhitaji mchezaji mzuri ambaye wanaamini anaweza Kuwasaidia kwenye Kikosi chao kwaajili ya ligi Kuu na mashindano mengine kitaifa na Kimataifa ambayo watashiriki. Simba siku ya Jana wamefanikiwa kumnasa Kiungo mzambia Chama Clatous kutoka katika Klabu ya Dynamos Fc ya Huko nchini Zambia.
Saturday, July 21, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI
Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...
-
Pontio Pilato Alikuwa Nani? “PILATO alikuwa mtu mwenye dhihaka, mwenye kutilia shaka mambo, na anayewashangaza watu. Watu fulani humwona ku...
-
NAMNA YA KUPIKA KEKI MAHITAJI: -Mayai sita -Siagi -Sukari (icing sugar) -Baking powder -Unga wa ngano -Mafuta ya kupikia -Flavours za vanill...
-
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC wametambulisha jezi zao mpya zitakazotumia msimu wa 2018/19. Kwamujibu wa Mkuu wa habari na...
No comments:
Post a Comment