Saturday, July 21, 2018

THIS IS SIMBA

Usajili mwingine uliokamilika usiku wa Jana Simba huu hapa   - July 21, 2018 . Usajili mwingine uliokamilika  Ukisikia Simba hawatanii hawatanii kweli na wamekuwa tayari kufanya lolote linapokuja suala la Kumuhitaji mchezaji mzuri ambaye wanaamini anaweza Kuwasaidia kwenye Kikosi chao kwaajili ya ligi Kuu na mashindano mengine kitaifa na Kimataifa ambayo watashiriki. Simba siku ya Jana wamefanikiwa kumnasa Kiungo mzambia Chama Clatous kutoka katika Klabu ya Dynamos Fc ya Huko nchini Zambia.

No comments:

Post a Comment

MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI

Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...