Wednesday, July 11, 2018

SIMBA SC YATINGA FINALI

Simba sc imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya Kagame Super Cup.Simba sc wamelazimika kusubiri hadi dakika ya (41) ambapo mchezaji mwenye asili ya kinyarwanda Meddie Kagere amefanikiwa kukwamisha mpira nyavuni.

No comments:

Post a Comment

MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI

Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...