Katibu mkuu kiongozi,John Kijazi amesema mpaka mwishoni mwa mwaka huu serikali itakuwa imeagiza ndege nyingine mbili aina ya Bombardier hivyo kufanya kuwa na ndege sita za kisasa.
"Mwito wangu kwa ATCL,watunze ndege hizi na kuhakikisha wanazihudumia vizuri na kuendesha kibiashara.kwa kufanya hivyo serikali itakuwa na uwezo wa kununua ndege nyingine."amesema
No comments:
Post a Comment