Monday, August 6, 2018
MDHAMINI MPYA SIMBA SC KUJENGA UWANJA WA BUNJU
PAMOJA na kutambulisha jezi zake mpya za msimu ujao, klabu ya Simba imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya A1 Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink wenye thamani ya Sh. Milioni 250.Kaimu Rais Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' amesema fedha hizo zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja mpya wa klabu huko Bunju.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI
Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...
-
Pontio Pilato Alikuwa Nani? “PILATO alikuwa mtu mwenye dhihaka, mwenye kutilia shaka mambo, na anayewashangaza watu. Watu fulani humwona ku...
-
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC wametambulisha jezi zao mpya zitakazotumia msimu wa 2018/19. Kwamujibu wa Mkuu wa habari na...
-
Tetesi za Usajili barani Ulaya leo 31.7.2018 Real Madrid haina mpango wa kumsajili mchezaji wa safu ya kati wa Chelsea Willian, mwenye umri ...
No comments:
Post a Comment