Mfalme wa Saudi Arabia amekubali pacha walioungana,Marines na Anisia Beatus kupelekwa nchini humo kuangalia uwezekano wa kuwatenganisha mapacha hao walioungana sehemu ya kifuani.
Mapacha hao wamelazwa katika hospitali ya Muhimbili (MNH) tangu februari wakipatiwa matibabu.
No comments:
Post a Comment