Monday, June 25, 2018

PACHA WALIOUNGANA KUPELEKWA SAUDI ARABIA

Mfalme wa Saudi Arabia amekubali pacha walioungana,Marines na Anisia Beatus kupelekwa nchini humo kuangalia uwezekano wa kuwatenganisha mapacha hao walioungana sehemu ya kifuani.

Mapacha hao wamelazwa katika hospitali ya Muhimbili (MNH) tangu februari wakipatiwa matibabu.

No comments:

Post a Comment

MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI

Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...