Thursday, June 7, 2018

CHINI YA KAPETI

Klabu ya Singida United imetibitisha uwezekano mdogo wa kuikosa huduma ya mchezaji wake Deus Kaseke.
Kwa mujibu wa msemaji wake,Festo Sanga amesema,"Kuna uwezekano mdogo wa kupata huduma ya mchezaji huyo kutokana klabu moja ya Afrika kusini kuhitaji huduma yake".

No comments:

Post a Comment

MATOKEO YA UPONYAJI UGONJWA WA UKIMWI

Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...