Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam imefanikiwa kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Gor Mahia ya nchini Kenya.
Mshambuliaji huyu raia wa Rwanda amesajiliwa kwa kitita cha shilingi ml. 110.
Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam imefanikiwa kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Gor Mahia ya nchini Kenya.
Mshambuliaji huyu raia wa Rwanda amesajiliwa kwa kitita cha shilingi ml. 110.
Kiungo mbelgiji Radja Nainggolan aliyekuwa akikipiga katika klabu ya AS Roma amejiunga na klabu ya Inter Milan kwa Euro 21
Mfalme wa Saudi Arabia amekubali pacha walioungana,Marines na Anisia Beatus kupelekwa nchini humo kuangalia uwezekano wa kuwatenganisha mapacha hao walioungana sehemu ya kifuani.
Mapacha hao wamelazwa katika hospitali ya Muhimbili (MNH) tangu februari wakipatiwa matibabu.
Klabu ya Singida United imetibitisha uwezekano mdogo wa kuikosa huduma ya mchezaji wake Deus Kaseke.
Kwa mujibu wa msemaji wake,Festo Sanga amesema,"Kuna uwezekano mdogo wa kupata huduma ya mchezaji huyo kutokana klabu moja ya Afrika kusini kuhitaji huduma yake".
KIKOSI CHA SIMBA VS KK HOMEBOYZ
1.Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3.Mohamed Zimbwe
4.Paul Bukaba
5.Erasto Nyoni
6.Jonasi Mkude
7.Shiza Kichuya
8.Muzamiru Yassin
9.Mohammed Rashid
10.Rashid Juma
11.Haruna Niyonzima
SUB.
1.Salim Ally
2.Ally Shomari
3.Yusufu Mlipili
4.Mohamed Ibrahim
5.Marcel Kaheza
6.Adamu Salamba
Ethiopia
Mchungaji mmoja kwa Majina Docho Eshete ameuawa kwa kushambuliwa na mamba akiwa anawafanyia ubatizo waumini wapya ziwani
Ajali mbaya imetokea mkoani Kigoma Kahabwa Kata ya Gungu.
Ajali hiyo imehusisha treni ya mizigo name basi lifanyalo safari za Kigoma -Tabora
Mgonjwa aliyekuwa na virusi vya HIV atangazwa kutokuwa tena na virusi hivyo Watafiti nchini Uingereza wamebainisha kwamba raia mmoja wa taif...